Shajara ya Mwana Mzizima Tatu
Mchapishaji
Readit Books Ltd
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 17, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Kitabu hiki ni mfululizo wa vitabu vya kumbukumbu ya sehemu na watu mashuhuri katika jiji la Dar es Salaam. Kitabu hiki ni cha tatu ambacho kinaonesha jiji la Dar es Salaam kwa jicho la mkazi mwenyeji. Historia hii ni muhimu kutambua tulipotoka na tunapokwenda tusije sahau tukapotea. Pia itakuwa kitabu cha kurejelewa kwa wasomi wa historia.