Mkono wa Jamhuri
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 17, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Mtemi mkwawa anamtuma Mwangito kwenda unyanyembe kuwakimboa watumwa waliochukuliwa kutoka kalenga. Chambila, Mshauri wa Usalama wa Mtemi Mkwawa, hapendezwi na matokeo ya. Mwangito anawekwa pembeni
 

Baada ya uhuru, Chambila, Mkuu wa wa Usalama wa Rais Mkwawa, anakumbana na dhahma kubwa kutoka kwa mawakala wa Urusi na Marekani. Mapambano kati ya mawakala wa nchi tatu yanapamba moto. Chambila anaona hatari. Anamkumbuka Mwangito.