Mashairi ya Shaabani Robert
Mchapishaji
Mbiu Press
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 17, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Hii ni moja ya diwani fupi inayozungumzia namna bora ambayo wanajamii wanaweza kuhusiana na kujiletea maendeleo. Masuala mbalimbali kama vile dini, maadili na maisha kwa ujumla wake yanazungumziwa ipasavyo na mwandishi. Chachu hii inaleta changamoto ya kujitahidi kupambana hadi kufikia kilele cha malengo na maisha bora ambayo ni ndoto ya kila mmoja. Hakika dafina ya maisha iliyofichwa inafichuliwa katika diwani hii na kumwezesha mwanadamu kujikwamua na kuishi kwa furaha.