Mandari Katika Udzungwa
Mchapishaji
Readit Books Ltd
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 19, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Darasa la Nne wanaamua kuwa na mandari katika Hifadhi ya Udzungwa. Ilikuwa siku nzuri sana lakini ilikuwa siku ya mashaka vilevile. Je, waliona nini na walipata mashaka gani?