Koja la Lugha
Mchapishaji
Mbiu Press
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 17, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Uhodari na utunzi mahiri wa Shaaban Robert unadhihirishwa katika kazi yake hii ya Koja la Lugha. Mashairi yaliyosukwa kwa ustadi na kwa tunu za jamii yanakusanywa na kuunda kitabu hiki. Jamii ya Afrika Mashariki ikiwa hadhira lengwa kwa namna ya ajabu ya mfanano kati ya yanayozungumziwa na yaliyopo leo hii. Ukongwe si nongwa kwani diwani hii ni kioo cha jamii hata leo hii.