Kisa cha Simba Mtu
Mchapishaji
Lantern-E-Books
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 17, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Hadithi hii nimeitunga maalumu kama zawadi kwa rafiki zangu wa Mtwara, walionipokea na kunitembeza maeneo mbalimbali na huko nilipata visa vingi kikiwemo kisa hiki cha Simba Mtu. Nikiwa Mtwara niligundua kuwa kuna masimulizi mengi ambayo Tanzania na dunia ingeburudika na pia kujifunza kupitia masimulizi hayo. Asante sana Godfrey Kiganga wa Mtwara mjini, Mzee Yusufu Lilengwa wa Dijengwa ama Njeengwa kama wanavyopaita sasa na wengine wengi. Asante Mtwara.