Kanuni za Ukulima wa Kisasa
Mchapishaji
Tanzania Educational Publisher
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 17, 2025

TSh 4,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Kanuni za Ukulima wa Kisasa ni kitabu kinachoeleza Kanuni Ishirini na Tano (25) za Ukulima wa Kisasa. Kanuni hizo ni zile ambazo wakulima wanapaswa kuzisoma na kuzielewa kwa lengo la kuendesha kilimo cha kisasa cha mazao mbalimbali ya kilimo. Kanuni hizo zimeelezwa kwa kikamilifu kitabuni.