Kanuni za Ukulima wa Kisasa
Mchapishaji
Tanzania Educational Publisher
Lugha
Swahili
MAELEZO YA KITABU
Kanuni za Ukulima wa Kisasa ni kitabu kinachoeleza Kanuni Ishirini na Tano (25) za Ukulima wa Kisasa. Kanuni hizo ni zile ambazo wakulima wanapaswa kuzisoma na kuzielewa kwa lengo la kuendesha kilimo cha kisasa cha mazao mbalimbali ya kilimo. Kanuni hizo zimeelezwa kwa kikamilifu kitabuni.