Kabrasha la Rais
Mchapishaji
Wilbard Makene
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 18, 2025

TSh 3,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Rais Kassim Mabrouk wa Tanzania anaingia kwenye mgogoro mkubwa na baadhi ya wajumbe wa chama chake, Chama Mahalia (CM). Genge la matajiri ndani ya chama linapanga mbinu chafu dhidi yake. Kwa njia za siri, Rais anaigundua mipango yote, anatengeneza kabrasha na kumkabidhi Tamim, mtu wake wa karibu katika duru za usalama