Dhifa
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 19, 2025

TSh 4,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Dhifa ni diwani ya mwisho ya Kezilahabi. Diwani hii inakusanya tungo za miaka ya 1990-2008, wakati wa mageuzi ya kiliberali mamboleo yaliyoasisiwa na Rais Ali Hassan Mwinyi na kuendelezwa na warithi wake baada ya Mwalimu J.K. Nyerere kustaafu. Jina la diwani linaakisi wazo lake kuu: “Dhifa” – yaani sherehe ya kujinufaisha baada ubinafsishaji na uporaji wa mali na rasilimali za Umma. Jina la diwani hii linabeba motifu kuu ya kipindi hicho: ufisadi na ubadhirifu uliokithiri.