ELIZABETH MRAMBA

BIOGRAPHY




Punje ya Tumaini

Fredrick Matata ni kijana mtanashati, wakili na mmiliki wa hoteli kubwa ya kifahari jijini Dar es Salaam. Anajihusisha na starehe za kila aina, wanawake, pombe vyote viliyapamba maisha yake huku watu wakimnyooshea kidole kwamba anajihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya. Hata hivyo nani wa kumgusa? Pesa iliongea.


  • Published : June 7, 2023


No award found

Ask Elizabeth Mramba anything

Contact Form