Sungura Mkaidi
Publisher
Readit Books Ltd
Language
Swahili
BOOK OVERVIEW
Sungura mtoto alikuwa hapendi kusikiliza ushauri kutoka kwa wakubwa wake. Vilevile hakuwaheshimu wakubwa. Siku alipoenda kuiba mboga za watu alifukuzwa na mbwa. Je, atanusurika?