Tenzi za Marudi Mema na Omar Khayyam
Mchapishaji
Mbiu Press
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on January 06, 2026

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Utungo huu umejaa tunu na mafunzo kwa jamii ukisawiri muelekeo wa jamii kwa kutoa miongozo itakayotumika kama reli za maisha ya kila siku. Marudi si marudi tu, bali yapaswa kuwa marudi mema yatakayokuwa msaada kwa jamii. Ungana na mtunzi ili kufaidi kazi hii yenye msisimko wa pekee unaoambatana na elimu adimu za jamii.